Mashindano ya ubunifu wa vijana wa kiafrika 2025
Kutambua hili, Youth for Tax Justice Network (YTJN) inapendekeza Shindano la Sanaa kwa Vijana Barani Afrika. Lengo ni kutumia ubunifu wa vijana wa Kiafrika kukuza fikra mpya na kuelewa wa ngazi ya jamii kuhusu masuala muhimu ya utawala wa kiuchumi, yakiwemo deni la umma, AfCFTA, fedha za hali ya hewa, urejeshaji wa mali, na Mkataba wa Umoja wa Mataifa kuhusu Ushirikiano wa Kodi wa Kimataifa.